Swali: Je, inafaa kuweka nia katikati ya kitendo au mwishoni mwake na si mwanzoni mwake?
Jibu: Hapana, ni lazima iwekwe mwanzoni. Ni lazima mtu anuie kabla ya kuingia kwa alfajiri. Hata hivyo katika swawm ya sunnah ni sawa akaweka nia wakati wa mchana midhali hajala wala hajakunywa. Inafaa kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 03/11/2019
Swali: Je, inafaa kuweka nia katikati ya kitendo au mwishoni mwake na si mwanzoni mwake?
Jibu: Hapana, ni lazima iwekwe mwanzoni. Ni lazima mtu anuie kabla ya kuingia kwa alfajiri. Hata hivyo katika swawm ya sunnah ni sawa akaweka nia wakati wa mchana midhali hajala wala hajakunywa. Inafaa kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 03/11/2019
https://firqatunnajia.com/wakati-wa-kuweka-nia-ya-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)