Swali: Ni lipi la wajibu kwa waislamu juu ya ndugu zetu waislamu huko Kosovo? Je, waislamu wanapata dhambi kwa kufanya upungufu juu ya ndugu zao waislamu Albania?
Jibu: Ni lazima kwetu kuwaombea du´aa, kuwasaidia kwa kiasi cha uwezo na kukemea yale wanayofanyiwa.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 09/02/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)