Swali: Ndugu yangu amepatwa na ugonjwa wa ukurutu. Ni lazima kuosha viungo vyake vilivyopatwa na ukurutu? Au anaweza kufanya Tayammum kwa sababu uoshaji unamcheleweshea kupona?
Jibu: Ikiwa kuosha kwa maji kunamuathiri na kumzidishia maradhi, asioshe na badala yake afanye Tayammum. Aoshe vile viungo visivyogonjweka na afanye Tayammum kwa vilivyogonjweka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (69) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12-07-1438i.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2017
Swali: Ndugu yangu amepatwa na ugonjwa wa ukurutu. Ni lazima kuosha viungo vyake vilivyopatwa na ukurutu? Au anaweza kufanya Tayammum kwa sababu uoshaji unamcheleweshea kupona?
Jibu: Ikiwa kuosha kwa maji kunamuathiri na kumzidishia maradhi, asioshe na badala yake afanye Tayammum. Aoshe vile viungo visivyogonjweka na afanye Tayammum kwa vilivyogonjweka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (69) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12-07-1438i.mp3
Imechapishwa: 20/08/2017
https://firqatunnajia.com/ukurutu-na-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)