Swali: Mimi ni mwanaume ambaye nimeoa na mke wangu ameniomba nimletee Televisheni. Je, inajuzu kwangu kumletea?
Jibu: Haya sio katika maslahi yake. Kwa kuwa Televisheni mara nyingi inatumiwa katika shari. Wanawake hawakusudii kheri. Hukusudia mambo yaliyo na nyimbo na kadhalika. Usimtekelezei hilo. Mnasihi na umbainishie kuwa ni khatari na ni mlango wa shari. Mwambie kuwa ina chaneli mbaya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13832
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket