Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea siku ya mama na kupeana zawadi? Baadhi ya watu wakati ninapowaambia kuwa jambo hili halifai wanasema tusiwe na msimamo mkali.
Jibu: Haya ni matendo ya makafiri. Sikukuu hii inamnufaisha nini mama? Haimnufaishi kitu. Kinachomnufaisha ni kumtendea wema na kumuombea du´aa. Haya ndio yenye kumnufaisha. Ama kusherehekea sikukuu hii haimnufaishi kitu na isitoshe ni haramu. Ni kujifananisha na makafiri. Makafiri wao hawawatambui mama zao isipokuwa siku ya sikukuu. Muislamu yeye anamtambua mama yake katika kila wakati na kila siku, ni mamoja wakati anapokuwa yuhai au ameshakufa. Anamtambua, anamkumbuka na anamuombea du´aa. Ama wao hawawatambuki mama zao isipokuwa siku ya sikukuu hii.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-16.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea siku ya mama na kupeana zawadi? Baadhi ya watu wakati ninapowaambia kuwa jambo hili halifai wanasema tusiwe na msimamo mkali.
Jibu: Haya ni matendo ya makafiri. Sikukuu hii inamnufaisha nini mama? Haimnufaishi kitu. Kinachomnufaisha ni kumtendea wema na kumuombea du´aa. Haya ndio yenye kumnufaisha. Ama kusherehekea sikukuu hii haimnufaishi kitu na isitoshe ni haramu. Ni kujifananisha na makafiri. Makafiri wao hawawatambui mama zao isipokuwa siku ya sikukuu. Muislamu yeye anamtambua mama yake katika kila wakati na kila siku, ni mamoja wakati anapokuwa yuhai au ameshakufa. Anamtambua, anamkumbuka na anamuombea du´aa. Ama wao hawawatambuki mama zao isipokuwa siku ya sikukuu hii.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (66) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-04-16.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/tofauti-ya-makafiri-na-waislamu-kwa-mama-zao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)