Swali 201: Mwenye kupiga chafya na akamhimidi Allaah ni lazima kwa yule mwenye kumsikia kumuitikia?
Jibu: Ni lazima na sio kama salamu ambapo anatosha mmoja wakati anapotusalimia “as-Salaam ´alaykum” mmoja wetu anaweza kusema “wa ´alaykumus-Salaam”. Kuhusu kuchemua ni haki kwa mwenye kumsikia kumtakia rehema. Ni haki kwa sisi sote kumtakia rehema midhali atamuhimidi Allaah. Imepokelewa katika Hadiyth isemayo:
“Atapochemua mmoja wenu ambapo akamhimidi Allaah, basi ni haki kwa mwenye kumsikia amtakie rehema.”
Au Hadiyth yenye maana kama hiyo.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 401
- Imechapishwa: 06/09/2019
Swali 201: Mwenye kupiga chafya na akamhimidi Allaah ni lazima kwa yule mwenye kumsikia kumuitikia?
Jibu: Ni lazima na sio kama salamu ambapo anatosha mmoja wakati anapotusalimia “as-Salaam ´alaykum” mmoja wetu anaweza kusema “wa ´alaykumus-Salaam”. Kuhusu kuchemua ni haki kwa mwenye kumsikia kumtakia rehema. Ni haki kwa sisi sote kumtakia rehema midhali atamuhimidi Allaah. Imepokelewa katika Hadiyth isemayo:
“Atapochemua mmoja wenu ambapo akamhimidi Allaah, basi ni haki kwa mwenye kumsikia amtakie rehema.”
Au Hadiyth yenye maana kama hiyo.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 401
Imechapishwa: 06/09/2019
https://firqatunnajia.com/tofauti-ya-kuchemua-na-salamu-katika-kurudisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)