Swali: Ambaye anasema kuwa Qur-aan imeumbwa anakufuru?
Jibu: Salaf wamemkufurisha yule mwenye kusema kuwa maneno ya Allaah yameumbwa. Lakini huu ni ukufurishaji wa aina na si kwa mtu kwa dhati yake. Kwa mfano haifai kusema kuwa az-Zamakhshariy alikuwa kafiri kwa sababu alikuwa Mu´taziliy na Mu´tazilah wanasema kuwa Qur-aan imeumbwa. Hata hivyo maoni haya ni kufuru. Kuna tofauti kati ya Takfiyr kwa aina na kwa sifa na kwa mtu. Kwa sababu kumkufurisha mtu kwa dhati yake kunahitajia kutimia kwa vigezo na kuondoka kwa vikwazo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Kariym bin ´Abdillaah al-Khudhwayr
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.khudheir.com/audio/2596
- Imechapishwa: 13/12/2020
Swali: Ambaye anasema kuwa Qur-aan imeumbwa anakufuru?
Jibu: Salaf wamemkufurisha yule mwenye kusema kuwa maneno ya Allaah yameumbwa. Lakini huu ni ukufurishaji wa aina na si kwa mtu kwa dhati yake. Kwa mfano haifai kusema kuwa az-Zamakhshariy alikuwa kafiri kwa sababu alikuwa Mu´taziliy na Mu´tazilah wanasema kuwa Qur-aan imeumbwa. Hata hivyo maoni haya ni kufuru. Kuna tofauti kati ya Takfiyr kwa aina na kwa sifa na kwa mtu. Kwa sababu kumkufurisha mtu kwa dhati yake kunahitajia kutimia kwa vigezo na kuondoka kwa vikwazo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Kariym bin ´Abdillaah al-Khudhwayr
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.khudheir.com/audio/2596
Imechapishwa: 13/12/2020
https://firqatunnajia.com/tofauti-kati-ya-takfiyr-kwa-aina-na-takfiyr-kwa-mtu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)