Swali: Je, imepokelewa katika swalah mtindo wa kutoa salamu? Ni upi?
Jibu: Iliyokuja ni:
السلام عليكم ورحمة الله
“Amani na rehema za Allaah ziwe juu yenu.”
kuliani na kushotoni. Katika baadhi ya mapokezi imekuja:
السلام عليكم ورحمة الله تعالى وبركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yenu.”
lakini hata hivyo kuna maneno juu yake ya wanachuoni.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 08/04/2018
Swali: Je, imepokelewa katika swalah mtindo wa kutoa salamu? Ni upi?
Jibu: Iliyokuja ni:
السلام عليكم ورحمة الله
“Amani na rehema za Allaah ziwe juu yenu.”
kuliani na kushotoni. Katika baadhi ya mapokezi imekuja:
السلام عليكم ورحمة الله تعالى وبركاته
“Amani, rehema na baraka za Allaah ziwe juu yenu.”
lakini hata hivyo kuna maneno juu yake ya wanachuoni.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 08/04/2018
https://firqatunnajia.com/tasliym-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)