Swali: Katika zile siku kumi za mwisho za Ramadhaan tarehe ishirini na saba msikiti Mtakatifu wote wa Makkah watu hujaa na baada ya siku hiyo watu wanaondoka. Wengi wana imani kwamba usiku huo ndio usiku wa Qadr.
Jibu: Ndio usiku wenye matarajio zaidi, kama alivosema Ubayy. Alikuwa akiuapia kwamba ndio usiku wa Qadr.
Mwanafunzi: Baadhi ya watu hupupia kufanya ´Umrah kunako usiku huu.
Ibn Baaz: Inatakikana kwa mtu asijikakame na wala asiwaudhi watu. Afanye ´Umrah katika Ramadhaan na kufanya hivo inatosha. Ni mamoja iwe mwanzoni, katikati au mwishoni mwake. Asijikakame katika usiku huu. Watu wakijikakama kutakuwa na ugumu na uzito kwa wengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/23775/هل-يصح-تعيين-ليلة-القدر-بليلة-سبع-وعشرين
- Imechapishwa: 14/05/2020
Swali: Katika zile siku kumi za mwisho za Ramadhaan tarehe ishirini na saba msikiti Mtakatifu wote wa Makkah watu hujaa na baada ya siku hiyo watu wanaondoka. Wengi wana imani kwamba usiku huo ndio usiku wa Qadr.
Jibu: Ndio usiku wenye matarajio zaidi, kama alivosema Ubayy. Alikuwa akiuapia kwamba ndio usiku wa Qadr.
Mwanafunzi: Baadhi ya watu hupupia kufanya ´Umrah kunako usiku huu.
Ibn Baaz: Inatakikana kwa mtu asijikakame na wala asiwaudhi watu. Afanye ´Umrah katika Ramadhaan na kufanya hivo inatosha. Ni mamoja iwe mwanzoni, katikati au mwishoni mwake. Asijikakame katika usiku huu. Watu wakijikakama kutakuwa na ugumu na uzito kwa wengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/23775/هل-يصح-تعيين-ليلة-القدر-بليلة-سبع-وعشرين
Imechapishwa: 14/05/2020
https://firqatunnajia.com/tarehe-27-ndio-usiku-wenye-matarajio-makubwa-zaidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)