Swali: Katika kijiji chetu kuna mtu anayefanya kazi ya kutengeneza mikate kwenye mashine ya oveni na ni mtu ambaye anaswali na anafunga Ramadhaan. Ameniuliza kama inafaa kula katika Ramadhaan kwa kuzingatia kwamba anakabiliwa na joto la moto mkali kwa masaa mengi mchana akiwa amefunga?
Jibu: Haijuzu kwa mtu huyo kula. Bali ni lazima kwake kufunga. Kitendo cha yeye kuchoma mikate mchana wa Ramadhaan sio udhuru wa kutofunga. Afanye kazi kadri na awezavyo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (13489)
- Imechapishwa: 27/04/2020
Swali: Katika kijiji chetu kuna mtu anayefanya kazi ya kutengeneza mikate kwenye mashine ya oveni na ni mtu ambaye anaswali na anafunga Ramadhaan. Ameniuliza kama inafaa kula katika Ramadhaan kwa kuzingatia kwamba anakabiliwa na joto la moto mkali kwa masaa mengi mchana akiwa amefunga?
Jibu: Haijuzu kwa mtu huyo kula. Bali ni lazima kwake kufunga. Kitendo cha yeye kuchoma mikate mchana wa Ramadhaan sio udhuru wa kutofunga. Afanye kazi kadri na awezavyo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (13489)
Imechapishwa: 27/04/2020
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-mfungaji-anayekabiliwa-na-moshi-mwingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)