Swali: Nimewasikia baadhi ya watu wakisema kwamba haijuzu kuswali isipokuwa [mwanamke] akiwa na hina. Je, ni kweli? Vilevile wanasema kuwa mwenye kufa na mikononi mwake hakuna hina basi haswaliwi kwa sababu mikono yake imefanan na ya wanaume.
Jibu: Haya si kweli. Hina sio katika mambo yaliyofaradhishwa wala katika mambo ya lazima mpaka ifikie katika ngazi hii. Mwanamke asipopaka hina hakusemwi kuwa amekosea au ametenda dhambi. Kadhalika hakusemwi kwamba akifa haswaliwi au kwamba swalah yake haikubaliwi. Haya ni miongoni mwa mambo yanayosikiwa na watu wasiokuwa na elimu kutoka midomoni mwao au kutoka tu kwa watu wanaodhani kuwa ni wanachuoni ilihali sio wanachuoni.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (13) http://binothaimeen.net/content/6774
- Imechapishwa: 25/01/2021
Swali: Nimewasikia baadhi ya watu wakisema kwamba haijuzu kuswali isipokuwa [mwanamke] akiwa na hina. Je, ni kweli? Vilevile wanasema kuwa mwenye kufa na mikononi mwake hakuna hina basi haswaliwi kwa sababu mikono yake imefanan na ya wanaume.
Jibu: Haya si kweli. Hina sio katika mambo yaliyofaradhishwa wala katika mambo ya lazima mpaka ifikie katika ngazi hii. Mwanamke asipopaka hina hakusemwi kuwa amekosea au ametenda dhambi. Kadhalika hakusemwi kwamba akifa haswaliwi au kwamba swalah yake haikubaliwi. Haya ni miongoni mwa mambo yanayosikiwa na watu wasiokuwa na elimu kutoka midomoni mwao au kutoka tu kwa watu wanaodhani kuwa ni wanachuoni ilihali sio wanachuoni.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (13) http://binothaimeen.net/content/6774
Imechapishwa: 25/01/2021
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-mwanamke-haisihi-mpaka-awe-na-hina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)