Swali 358: Tumesikia kuhusu swalah ya haja na swalah ya kuhifadhi Qur-aan. Je, zipo swalah mbili hizi au hazipo?
Jibu: Zote mbili si sahihi. Si hiyo swalah ya haja wala swalah ya kuhifadhi Qur-aan. Kwa sababu mfano wa ´ibaadah hizi haiwezekani kuzithibitisha isipokuwa kwa dalili ya Kishari´ah ambayo ni hoja, jambo ambalo hakuna. Kwa hivyo hazikuwekwa katika Shari´ah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 139
- Imechapishwa: 29/09/2019
Swali 358: Tumesikia kuhusu swalah ya haja na swalah ya kuhifadhi Qur-aan. Je, zipo swalah mbili hizi au hazipo?
Jibu: Zote mbili si sahihi. Si hiyo swalah ya haja wala swalah ya kuhifadhi Qur-aan. Kwa sababu mfano wa ´ibaadah hizi haiwezekani kuzithibitisha isipokuwa kwa dalili ya Kishari´ah ambayo ni hoja, jambo ambalo hakuna. Kwa hivyo hazikuwekwa katika Shari´ah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 139
Imechapishwa: 29/09/2019
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-haja-na-ya-kuhifadhi-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)