Swali: Ni ipi hukumu ya unyenyekevu ( الخشوع) katika swalah?
Jibu: Unyenyekevu ndio ubongo wa swalah. Swalah isiyokuwa na unyenyekevu ni kama kiwiliwili kisichokuwa na roho. Kimsingi unyenyekevu unakuwa moyoni kisha ndipo viungo vya mwili vinafuatia kwa utulivu. Kwa msemo mwingine utulivu wa moyo na kumwelekea kwake Allaah (´Azza wa Jall). Tunamuomba Allaah atujaalie kuwa miongoni mwa wanyenyekevu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 22/09/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya unyenyekevu ( الخشوع) katika swalah?
Jibu: Unyenyekevu ndio ubongo wa swalah. Swalah isiyokuwa na unyenyekevu ni kama kiwiliwili kisichokuwa na roho. Kimsingi unyenyekevu unakuwa moyoni kisha ndipo viungo vya mwili vinafuatia kwa utulivu. Kwa msemo mwingine utulivu wa moyo na kumwelekea kwake Allaah (´Azza wa Jall). Tunamuomba Allaah atujaalie kuwa miongoni mwa wanyenyekevu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 22/09/2018
https://firqatunnajia.com/swalah-isiyokuwa-na-unyenyekevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)