Swali: Ziko nchi karibu na nchi zetu ambazo zina misikiti ambayo ndani yake kuna kaburi. Je, inafaa kuswali ndani yake?
Jibu: Swalah haisihi ndani ya msikiti ambao ndani yake kuna kaburi. Ni lazima kwake kuirudi swalah yake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 20/05/2019
Swali: Ziko nchi karibu na nchi zetu ambazo zina misikiti ambayo ndani yake kuna kaburi. Je, inafaa kuswali ndani yake?
Jibu: Swalah haisihi ndani ya msikiti ambao ndani yake kuna kaburi. Ni lazima kwake kuirudi swalah yake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 20/05/2019
https://firqatunnajia.com/swalah-haisihi-kwenye-msikiti-wenye-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)