Katika vitabu viwili vya Miswbaah kumepokelewa kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kutoka kwa ´Uqbah bin Khaalid ambaye amesimulia kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Abu Ja´far ambaye amesema kuhuus matembezi ya ´Aashuuraa´:

“Ee Allaah! Wakhusishe kwa ajili yangu kwa kumlaani dhalimu wa kwanza, kisha wa pili, kisha watatu, kisha wa nne. Ee Allaah! Mlaani Yaziyd bin Mu´aawiyah akiwa wa tano… “

Khabari zinathibitisha juu ya ukafiri wa Abu Bakr, ´Umar na watu mfano wao, thawabu za kuwalaani na kujitenga mbali na wao na Bid´ah zao ni nyingi kiasi cha kwamba haziwezi kutajwa katika mjeledi huu au mijeledi mingi. Yale tuliyoyataja yanatosheleza kwa yule ambaye Allaah anataka kumwongoza.

  • Mhusika: Muhammad Baaqir al-Majlisiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Bihaar-ul-Anwaar (30/399)
  • Imechapishwa: 02/12/2018