Swali: Baadhi ya watu katika baadhi ya misikiti wamezowea kufanya karamu ya chakula kwa ajili ya waswaliji baada ya kumaliza Qur-aan yote katika swalah ya Tarawiyh. Ni ipi hukumu ya karamu hii na kuhudhuria?
Jibu: Karamu hii iliyotajwa haina dalili kutoka katika Sunnah. Kwa hivyo bora ni kuacha kufanya hivo.
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Swaalih al-Fawzaan
´Abdullaah al-Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah nr. (21787)
- Imechapishwa: 23/04/2022
Swali: Baadhi ya watu katika baadhi ya misikiti wamezowea kufanya karamu ya chakula kwa ajili ya waswaliji baada ya kumaliza Qur-aan yote katika swalah ya Tarawiyh. Ni ipi hukumu ya karamu hii na kuhudhuria?
Jibu: Karamu hii iliyotajwa haina dalili kutoka katika Sunnah. Kwa hivyo bora ni kuacha kufanya hivo.
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Swaalih al-Fawzaan
´Abdullaah al-Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah nr. (21787)
Imechapishwa: 23/04/2022
https://firqatunnajia.com/sherehe-baada-ya-kukhitimisha-qur-aan-katika-tarawiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)