Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya biashara kwa du´aa ambazo ndani yake kuna uchawi, mahimizo ya kunyoa ndevu, madawa ya kulevya na mfano wake?

Jibu: Kufanya biashara kwa haya ni haramu. Huku ni kueneza maovu na haramu. Hili ni chumo haramu. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

“Riziki haitafutwi kwa kumuasi Allaah (´Azza wa Jall).”

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/07.mp3
  • Imechapishwa: 13/01/2019