Swali: Allaah (Ta´ala) amesema:
قُلْ أَبِاللَّـهِ وَآيَاتِهِ وَرَسُولِهِ كُنتُمْ تَسْتَهْزِئُونَ لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
”Sema: ”Je, mlikuwa mnamfanyia istihizai Allaah na Aayah Zake na Mtume Wake? Hivyo msitoe udhuru, kwani mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.” (at-Tawbah 09:66)
Je, katika Aayah hii kuna dalili inayofahamisha kwamba kitendo au neno linaweza kumtoa mtu nje ya Uislamu na ndani yake kuna Radd kwa Murji-ah?
Jibu: Ndio, pasi na shaka. Kuna Radd kwa Murji-ah wanaosema kwamba mtu hawezi kukufuru isipokuwa mpaka aamini ndani ya moyo wake. Aayah inafahamisha kwamba mtu anakufuru moja kwa moja. Ni mamoja ameamini ndani ya moyo au hakuamini. Mwenye kufanya mzaha na istihzai hakuamini ndani ya moyo. Pamoja na hivo Allaah amemkafirisha:
قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
”Mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 141
- Imechapishwa: 23/12/2018
Swali: Allaah (Ta´ala) amesema:
قُلْ أَبِاللَّـهِ وَآيَاتِهِ وَرَسُولِهِ كُنتُمْ تَسْتَهْزِئُونَ لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
”Sema: ”Je, mlikuwa mnamfanyia istihizai Allaah na Aayah Zake na Mtume Wake? Hivyo msitoe udhuru, kwani mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.” (at-Tawbah 09:66)
Je, katika Aayah hii kuna dalili inayofahamisha kwamba kitendo au neno linaweza kumtoa mtu nje ya Uislamu na ndani yake kuna Radd kwa Murji-ah?
Jibu: Ndio, pasi na shaka. Kuna Radd kwa Murji-ah wanaosema kwamba mtu hawezi kukufuru isipokuwa mpaka aamini ndani ya moyo wake. Aayah inafahamisha kwamba mtu anakufuru moja kwa moja. Ni mamoja ameamini ndani ya moyo au hakuamini. Mwenye kufanya mzaha na istihzai hakuamini ndani ya moyo. Pamoja na hivo Allaah amemkafirisha:
قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ
”Mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 141
Imechapishwa: 23/12/2018
https://firqatunnajia.com/radd-kwa-wanaosema-kwamba-mtu-hakufuru-mpaka-aamini-moyoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)