Swali: Je, inajuzu kutaamiliana na makundi na mapote yaliyopo ambayo yanasifiwa ya kwamba ni yenye kupindukia na ni ya kigaidi kama mfano wa Tabliygh na al-Ikhwaan katika kulingania?
Jibu: Fuateni njia ya as-Salaf as-Swaalih na mfumo wa Salaf wa Ummah na maimamu wao. Mfumo wao uko wazi na umesimama imara. Fuateni mfumo huu. Jiungeni nao. Hivyo Allaah atakulindeni – kwa idhini Yake – kutokamana na kila upotevu, kila utata na kila upumbavu. Ni mfumo wa wazi. Shikamaneni nao. Hivyo ndivyo amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mimi nimekuachieni yale ambayo endapo mtashikamana nayo basi hamtopotea kamwe baada yangu; Kitabu cha Allaah na Sunnah zangu.”
Qur-aan na Sunnah viko mbele yetu na vimehifadhiwa. Kwa hiyo mbele yetu tuko na silaha dhidi ya kila batili, dhidi ya kila utata, dhidi ya kila Bid´ah na dhidi ya kila upotevu. Tuko na silaha zenye kuangamiza batili hizi na himdi zote anastahiki Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17754
- Imechapishwa: 11/04/2018
Swali: Je, inajuzu kutaamiliana na makundi na mapote yaliyopo ambayo yanasifiwa ya kwamba ni yenye kupindukia na ni ya kigaidi kama mfano wa Tabliygh na al-Ikhwaan katika kulingania?
Jibu: Fuateni njia ya as-Salaf as-Swaalih na mfumo wa Salaf wa Ummah na maimamu wao. Mfumo wao uko wazi na umesimama imara. Fuateni mfumo huu. Jiungeni nao. Hivyo Allaah atakulindeni – kwa idhini Yake – kutokamana na kila upotevu, kila utata na kila upumbavu. Ni mfumo wa wazi. Shikamaneni nao. Hivyo ndivyo amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mimi nimekuachieni yale ambayo endapo mtashikamana nayo basi hamtopotea kamwe baada yangu; Kitabu cha Allaah na Sunnah zangu.”
Qur-aan na Sunnah viko mbele yetu na vimehifadhiwa. Kwa hiyo mbele yetu tuko na silaha dhidi ya kila batili, dhidi ya kila utata, dhidi ya kila Bid´ah na dhidi ya kila upotevu. Tuko na silaha zenye kuangamiza batili hizi na himdi zote anastahiki Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17754
Imechapishwa: 11/04/2018
https://firqatunnajia.com/qur-aan-sunnah-na-mfumo-wa-salaf-silaha-nzito-dhidi-ya-kila-upotevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)