Swali: Ni ipi hukumu ya kutundika picha kwenye ukuta?
Jibu: Kutundika picha kwenye ukuta, khaswa wale wakuu, ni haramu. Haijalishi kitu kama ni sehemu ya kiwiliwili na kichwa. Ni dhahiri kwamba makusudio ni maadhimisho. Msingi wa shirki ni upetukaji huu kama ilivyopokelewa kutoka kwa Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ambaye amesimulia pickuhusu masanamu ya watu wa Nuuh (´alayhis-Salaam) yanayoabudiwa ya kwamba yalikuwa ni majina ya wanaume wema ambao zilitengenezwa sura zao ili yaweze kuwakumbusha ´ibaadah. Baada ya kupita muda wakayaabudu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/282)
- Imechapishwa: 04/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kutundika picha kwenye ukuta?
Jibu: Kutundika picha kwenye ukuta, khaswa wale wakuu, ni haramu. Haijalishi kitu kama ni sehemu ya kiwiliwili na kichwa. Ni dhahiri kwamba makusudio ni maadhimisho. Msingi wa shirki ni upetukaji huu kama ilivyopokelewa kutoka kwa Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ambaye amesimulia pickuhusu masanamu ya watu wa Nuuh (´alayhis-Salaam) yanayoabudiwa ya kwamba yalikuwa ni majina ya wanaume wema ambao zilitengenezwa sura zao ili yaweze kuwakumbusha ´ibaadah. Baada ya kupita muda wakayaabudu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/282)
Imechapishwa: 04/06/2017
https://firqatunnajia.com/picha-ndio-msingi-wa-shirki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)