Swali: Je, atahadharishwe yule mwenye kusema kuwa maandamano yanafaa au ni katika mambo ya Ijtihaad?
Jibu: Maandamano hayajuzu kwa hali yoyote. Nyinyi wenyewe mmeona maandamano kwa macho yenu na mmeona yamepelekea katika kitu gani. Mmeona ni miji mingapi yameharibu na kuua watu. Yamefanya watoto kuwa mayatima na wanawake kuwa wajane. Yameangamiza nyumba na miji. Maandamano ni kitu kisichosilihi. Kutengeneza sio kwa kufanya maandamano. Kutengeneza kunakuwa kwa njia za Shari´ah zinazochukuliwa kuyafikia malengo. Haya yanakuwa kupitia mikono ya wanachuoni na watu wa maono na si kupitia kwa watu wa kawaida na wajinga.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=135719
- Imechapishwa: 20/03/2021
Swali: Je, atahadharishwe yule mwenye kusema kuwa maandamano yanafaa au ni katika mambo ya Ijtihaad?
Jibu: Maandamano hayajuzu kwa hali yoyote. Nyinyi wenyewe mmeona maandamano kwa macho yenu na mmeona yamepelekea katika kitu gani. Mmeona ni miji mingapi yameharibu na kuua watu. Yamefanya watoto kuwa mayatima na wanawake kuwa wajane. Yameangamiza nyumba na miji. Maandamano ni kitu kisichosilihi. Kutengeneza sio kwa kufanya maandamano. Kutengeneza kunakuwa kwa njia za Shari´ah zinazochukuliwa kuyafikia malengo. Haya yanakuwa kupitia mikono ya wanachuoni na watu wa maono na si kupitia kwa watu wa kawaida na wajinga.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=135719
Imechapishwa: 20/03/2021
https://firqatunnajia.com/nyinyi-wenyewe-mmeona-maandamano-yamefanya-nini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)