Swali: Je, ni wajibu kwa mume kumhudumikia mke ambaye ameajiriwa?
Jibu: Ndio, kwa mujibu wa mkataba wa ndoa. Ni wajibu kwa mume kumhudumikia mke uwake kwa mujibu wa mkataba wa ndoa. Haijalishi kitu hata kama mke yuko na pesa na mshahara. Isipokuwa ikiwa kama mume alimuwekea sharti wakati wa kufunga ndoa ya kwamba hatomuhudumikia na yeye mwanamke akawa ameridhia hilo. Kwa msemo mwingine mwanamke akaridhia kuiangusha haki yake ya matumizi. Basi itambulike kuwa waislamu wanaishi kwa masharti waliyowekeana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/09-03-1436.mp3
- Imechapishwa: 03/12/2017
Swali: Je, ni wajibu kwa mume kumhudumikia mke ambaye ameajiriwa?
Jibu: Ndio, kwa mujibu wa mkataba wa ndoa. Ni wajibu kwa mume kumhudumikia mke uwake kwa mujibu wa mkataba wa ndoa. Haijalishi kitu hata kama mke yuko na pesa na mshahara. Isipokuwa ikiwa kama mume alimuwekea sharti wakati wa kufunga ndoa ya kwamba hatomuhudumikia na yeye mwanamke akawa ameridhia hilo. Kwa msemo mwingine mwanamke akaridhia kuiangusha haki yake ya matumizi. Basi itambulike kuwa waislamu wanaishi kwa masharti waliyowekeana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/09-03-1436.mp3
Imechapishwa: 03/12/2017
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kwa-mume-kumhudumikia-mke-mwajiriwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)