Swali: Ni kipi kigezo cha kujumuisha kati ya Maghrib na ´Ishaa ikiwa kuna mvua?
Jibu: Ni mvua ya kuloa nguo. Wanasema mvua ya kuloa nguo. Ama mvua ndogo au mvua ambayo imefika inasimama, hakuna haja ya kujumuisha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Jibu: Ni mvua ya kuloa nguo. Wanasema mvua ya kuloa nguo. Ama mvua ndogo au mvua ambayo imefika inasimama, hakuna haja ya kujumuisha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
http://firqatunnajia.com/ni-mvua-ipi-inajuzu-kujumuisha-maghrib-na-ishaa__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)