Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kuyatembelea makaburi ya al-Baqiy´ au makaburi ya mashahidi kwa ajili ya kutazama?
Jibu: Hapana:
“Allaah amewalaani wanawake wenye kuyatembelea sana makaburi.”
Katika upokezi mwingine:
“… wenye kuyatembelea makaburi.”
Haijuzu kwake. Ni mamoja makaburi ya al-Baqiy´ au mengineyo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 04/11/2018
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kuyatembelea makaburi ya al-Baqiy´ au makaburi ya mashahidi kwa ajili ya kutazama?
Jibu: Hapana:
“Allaah amewalaani wanawake wenye kuyatembelea sana makaburi.”
Katika upokezi mwingine:
“… wenye kuyatembelea makaburi.”
Haijuzu kwake. Ni mamoja makaburi ya al-Baqiy´ au mengineyo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 04/11/2018
https://firqatunnajia.com/ni-mamoja-makaburi-ya-al-baqiy-au-mengineyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)