Ni lazima kuvua soksi baada ya kupata maji?

Swali: Mtu akifanya Tayammum kwa kukosa maji. Kisha akavaa soksi. Akipata maji kwa ajili ya swalah nyingine ni lazima avue zile soksi?

Jibu: Ndio, anatakiwa kuvua zile soksi.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
  • Imechapishwa: 05/09/2020