Swali: Ni ipi swawm ya kuunganisha? Imesuniwa?
Jibu: Swawm ya kuunganisha ni mtu kutofungua kwa siku mbili na hivyo akaunganisha kufunga kwa muda wa siku mbili kwa kufululiza. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameikataza na akasema:
“Anayetaka kuunganisha basi aunganishe mpaka muda wa kabla kuingia alfajiri.”[1]
Kufunga mpaka kipindi hicho ni kwa njia ya kujuzu. Haina maana kwamba imesuniwa kufanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekokoteza kufanya haraka kukata swawm:
“Watu hawatoacha kuwa juu ya kheri muda wa kuwa wanaharakisha kukata swawm.”[2]
[1] al-Bukhaariy (1967).
[2] al-Bukhaariy (1957) na Muslim (1098).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 492
- Imechapishwa: 29/04/2020
Swali: Ni ipi swawm ya kuunganisha? Imesuniwa?
Jibu: Swawm ya kuunganisha ni mtu kutofungua kwa siku mbili na hivyo akaunganisha kufunga kwa muda wa siku mbili kwa kufululiza. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameikataza na akasema:
“Anayetaka kuunganisha basi aunganishe mpaka muda wa kabla kuingia alfajiri.”[1]
Kufunga mpaka kipindi hicho ni kwa njia ya kujuzu. Haina maana kwamba imesuniwa kufanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekokoteza kufanya haraka kukata swawm:
“Watu hawatoacha kuwa juu ya kheri muda wa kuwa wanaharakisha kukata swawm.”[2]
[1] al-Bukhaariy (1967).
[2] al-Bukhaariy (1957) na Muslim (1098).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 492
Imechapishwa: 29/04/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuunganisha-funga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)