Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kati ya nguzo?
Jibu: Kuswali kati ya nguzo inafaa wakati wa dhiki ya nafasi. Ama kukiweko nafasi ya kutosha haifai kuswali kati ya nguzo. Kwa sababu kufanya hivo kunakata safu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 311
- Imechapishwa: 06/05/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali kati ya nguzo?
Jibu: Kuswali kati ya nguzo inafaa wakati wa dhiki ya nafasi. Ama kukiweko nafasi ya kutosha haifai kuswali kati ya nguzo. Kwa sababu kufanya hivo kunakata safu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 311
Imechapishwa: 06/05/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuswali-kati-ya-nguzo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)