Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono katika Witr?
Jibu: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kunyanyua mikono katika Qunuut ya Witr. Kwa sababu ni miongoni mwa aina za Qunuut wakati wa majanga. Imethibiti kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba alinyanyua mikono yake wakati alipoomba du´aa katika Qunuut dhidi ya majanga. Ameipokea al-Bayhaqiy (Rahimahu Allaah) kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/51)
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono katika Witr?
Jibu: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kunyanyua mikono katika Qunuut ya Witr. Kwa sababu ni miongoni mwa aina za Qunuut wakati wa majanga. Imethibiti kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba alinyanyua mikono yake wakati alipoomba du´aa katika Qunuut dhidi ya majanga. Ameipokea al-Bayhaqiy (Rahimahu Allaah) kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/51)
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kunyanyua-mikono-katika-witr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)