Swali: Ni ipi hukumu ya poda ambayo wanaweka huweka kwenye nyuso zao kwa sababu ya kujipamba?
Jibu: Poda inahitajia upambanuzi. Ikiwa inaupamba uso na wakati huohuo haidhuru uso na wala haisababishi kitu basi haina neno wala ubaya. Lakini ikiwa inasababisha kitu kama vile viupele vyeusi au inasababisha madhara mengine, basi itakatazwa kutokana na madhara.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (06/497)
- Imechapishwa: 13/03/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya poda ambayo wanaweka huweka kwenye nyuso zao kwa sababu ya kujipamba?
Jibu: Poda inahitajia upambanuzi. Ikiwa inaupamba uso na wakati huohuo haidhuru uso na wala haisababishi kitu basi haina neno wala ubaya. Lakini ikiwa inasababisha kitu kama vile viupele vyeusi au inasababisha madhara mengine, basi itakatazwa kutokana na madhara.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (06/497)
Imechapishwa: 13/03/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kujipaka-poda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)