Swali 30: Ni ipi hukumu maamuma akiacha kitu cha wajibu kwa kusahau?
Jibu: Ikiwa ameswali na imamu tokea kuanza kwa swalah, basi yeye ni mwenye kumfuata imamu wake. Hakuna kinachomlazimu. Na ikiwa amesahau nyuma ya imamu wake na alikuja amechelewa au akasahau katikati yake, basi asujudu Sujuud ya kusahau baada ya kulipa yale yaliyompita.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 36
- Imechapishwa: 05/11/2018
Swali 30: Ni ipi hukumu maamuma akiacha kitu cha wajibu kwa kusahau?
Jibu: Ikiwa ameswali na imamu tokea kuanza kwa swalah, basi yeye ni mwenye kumfuata imamu wake. Hakuna kinachomlazimu. Na ikiwa amesahau nyuma ya imamu wake na alikuja amechelewa au akasahau katikati yake, basi asujudu Sujuud ya kusahau baada ya kulipa yale yaliyompita.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 36
Imechapishwa: 05/11/2018
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-maamuma-akiacha-kitu-cha-wajibu-kwa-kusahau/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)