Swali: Mwanamke akiswali nyumbani kwake peke yake anaweza kuacha kukimu swalah?
Jibu: Haifai kwa mwanamke kukimu swalah, sawa iwe nyumbani kwake au nje ya nyumbani kwake. Asifanye Iqaamah. Kutoa adhaana na kukimu ni mambo maalum kwa wanaume. Kwa kuwa hakukuthibiti dalili yoyote ya kwamba wanawake wanaadhini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 04/01/2017
Swali: Mwanamke akiswali nyumbani kwake peke yake anaweza kuacha kukimu swalah?
Jibu: Haifai kwa mwanamke kukimu swalah, sawa iwe nyumbani kwake au nje ya nyumbani kwake. Asifanye Iqaamah. Kutoa adhaana na kukimu ni mambo maalum kwa wanaume. Kwa kuwa hakukuthibiti dalili yoyote ya kwamba wanawake wanaadhini.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 04/01/2017
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-mwanamke-hatakiwi-kuadhini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)