Swali: Muulizaji anasema kuwa mzazi wake kafikisha zaidi ya miaka 85 naye ni mgonjwa hawezi kutia Wudhuu kwa maji. Tunampa udongo atayamamu kwao. Je, inajuzu kwake kutayamamu kwa udongo huu mwezi au zaidi?
Jibu: Ndio, hakuna neno. Atatumia udongo mpaka katika muda maalumu. Maadamu anapata udongo, Alhamdulillaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb (770)
- Imechapishwa: 16/03/2018
Swali: Muulizaji anasema kuwa mzazi wake kafikisha zaidi ya miaka 85 naye ni mgonjwa hawezi kutia Wudhuu kwa maji. Tunampa udongo atayamamu kwao. Je, inajuzu kwake kutayamamu kwa udongo huu mwezi au zaidi?
Jibu: Ndio, hakuna neno. Atatumia udongo mpaka katika muda maalumu. Maadamu anapata udongo, Alhamdulillaah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb (770)
Imechapishwa: 16/03/2018
https://firqatunnajia.com/mzee-mgonjwa-hawezi-kutawadha-kwa-maji-badala-yake-anatayamamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)