Swali: Vipi kuhusu kuswali nyumbani?
al-Fawzaan: Swalah ya faradhi au ya Sunnah?
Muulizaji: Ya faradhi.
Jibu: Haijuzu kuswali nyumbani isipokuwa kwa udhuru wa Kishari´ah. Swalah ya mkusanyiko ni wajibu. Swali pamoja na wengine. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kusikia adhaana na asiiendee, basi hana swalah isipokuwa akiwa na udhuru.” Kukasemwa: “Ni udhuru upi?” Akasema: “Ni khofu au maradhi.”
Kwa hivyo haijuzu kuacha swalah ya mkusanyiko ilihali unaweza kuhudhuria.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 01/12/2017
Swali: Vipi kuhusu kuswali nyumbani?
al-Fawzaan: Swalah ya faradhi au ya Sunnah?
Muulizaji: Ya faradhi.
Jibu: Haijuzu kuswali nyumbani isipokuwa kwa udhuru wa Kishari´ah. Swalah ya mkusanyiko ni wajibu. Swali pamoja na wengine. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kusikia adhaana na asiiendee, basi hana swalah isipokuwa akiwa na udhuru.” Kukasemwa: “Ni udhuru upi?” Akasema: “Ni khofu au maradhi.”
Kwa hivyo haijuzu kuacha swalah ya mkusanyiko ilihali unaweza kuhudhuria.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 01/12/2017
https://firqatunnajia.com/mwanaume-kuswali-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)