1281- Mtume (Swalla Allahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mwanamke atakuwa na yule mume wake wa mwisho.”
Ameipokea Abu ´Aliy al-Harraaniy al-Qushayriy katika ”Taarikh Raqqah”[1] ambaye amesema:
al-´Abbaas bin Swaalih bin Musaafir al-Harraaniy ametuhadithia: Abu ´Abdillaah Ismaa´iyl bin ´Abdillaah bin Khaalid as-Sukkariy ametuhadithia: Abul-Maliyh ametuhadithia, kutoka kwa Maymuun bin Mahraan ambaye amesema:
“Mu´aawiyah (Radhiya Allaahu ´anh) alimposa Umm-ud-Dardaa’ ambapo akakataa na akasema: “Nilimsikia Abud-Dardaa’ akisema: “Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamke atakuwa na yule mume wake wa mwisho” au “Mwanamke atakuwa kwa yule mume wake wa mwisho.”
Mimi simtaki mwingine zaidi ya Abud-Dardaa’.”
Wanaume wa cheni ya wapokezi ni waaminifu na wenye kutambulika isipokuwa tu al-´Abbaas bin Swaalih. Sijapata wasifu wake. Watu warejee katika “al-Jarh wat-Ta´diyl”[2]…
Kwa ujumla Hadiyth, kwa cheni za wapokezi zote, ina nguvu na maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni sahihi.
[1] 2/39/3.
[2] Mimi mwenyewe nilirejea huko na sikupata kitu. Ibn Hibbaan amemtaja katika ”ath-Thiqaat” (8/514).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah (3/275-276)
- Imechapishwa: 25/05/2019
1281- Mtume (Swalla Allahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mwanamke atakuwa na yule mume wake wa mwisho.”
Ameipokea Abu ´Aliy al-Harraaniy al-Qushayriy katika ”Taarikh Raqqah”[1] ambaye amesema:
al-´Abbaas bin Swaalih bin Musaafir al-Harraaniy ametuhadithia: Abu ´Abdillaah Ismaa´iyl bin ´Abdillaah bin Khaalid as-Sukkariy ametuhadithia: Abul-Maliyh ametuhadithia, kutoka kwa Maymuun bin Mahraan ambaye amesema:
“Mu´aawiyah (Radhiya Allaahu ´anh) alimposa Umm-ud-Dardaa’ ambapo akakataa na akasema: “Nilimsikia Abud-Dardaa’ akisema: “Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamke atakuwa na yule mume wake wa mwisho” au “Mwanamke atakuwa kwa yule mume wake wa mwisho.”
Mimi simtaki mwingine zaidi ya Abud-Dardaa’.”
Wanaume wa cheni ya wapokezi ni waaminifu na wenye kutambulika isipokuwa tu al-´Abbaas bin Swaalih. Sijapata wasifu wake. Watu warejee katika “al-Jarh wat-Ta´diyl”[2]…
Kwa ujumla Hadiyth, kwa cheni za wapokezi zote, ina nguvu na maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni sahihi.
[1] 2/39/3.
[2] Mimi mwenyewe nilirejea huko na sikupata kitu. Ibn Hibbaan amemtaja katika ”ath-Thiqaat” (8/514).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah (3/275-276)
Imechapishwa: 25/05/2019
https://firqatunnajia.com/mwanamke-atakuwa-na-mume-wake-wa-mwisho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)