Swali: Kuna mwanamke ametwaharika na hedhi kabla ya adhaana ya Fajr na hakuoga isipokuwa baada ya adhaana. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Ndio. Swawm haishurutishi kuoga. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anaamka hali ya kuwa ana janaba na anafunga, kisha anaoga baada ya Fajr baada ya kuwa na swawm. Swawm haishurutishi twahara. Inajuzu kwa mtu kunuia swawm bila ya kuwa na twahara.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Kuna mwanamke ametwaharika na hedhi kabla ya adhaana ya Fajr na hakuoga isipokuwa baada ya adhaana. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Ndio. Swawm haishurutishi kuoga. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anaamka hali ya kuwa ana janaba na anafunga, kisha anaoga baada ya Fajr baada ya kuwa na swawm. Swawm haishurutishi twahara. Inajuzu kwa mtu kunuia swawm bila ya kuwa na twahara.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliyekuwa-na-hedhi-kuamka-na-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)