318- Ni katika Sunnah kutambua kuwa Mut´ah ni haramu mpaka siku ya Qiyaamah.
319- ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nikipata khabari kwamba kuna mtu ameoa kwa mujibu wa Mut´ah na amejua juu ya uharamu wake, basi nitampiga mawe akiwa tayari ameshaingia kuingia ndani ya ndoa au bakora akiwa ni bikira.”
320-´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) aliletwa bwana mmoja aliyefanya Mut´ah ambapo akasema:
“Lau ningekuwa nimesogea mbele basi ningempiga mawe.”
- Mhusika: Imaam ´Ubaydullaah bin Battah al-´Ukbariy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh wal-Ibaanah, uk. 69
- Imechapishwa: 09/07/2020
318- Ni katika Sunnah kutambua kuwa Mut´ah ni haramu mpaka siku ya Qiyaamah.
319- ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nikipata khabari kwamba kuna mtu ameoa kwa mujibu wa Mut´ah na amejua juu ya uharamu wake, basi nitampiga mawe akiwa tayari ameshaingia kuingia ndani ya ndoa au bakora akiwa ni bikira.”
320-´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) aliletwa bwana mmoja aliyefanya Mut´ah ambapo akasema:
“Lau ningekuwa nimesogea mbele basi ningempiga mawe.”
Mhusika: Imaam ´Ubaydullaah bin Battah al-´Ukbariy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh wal-Ibaanah, uk. 69
Imechapishwa: 09/07/2020
https://firqatunnajia.com/mutah-ni-umalaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)