Swali: Ipi hukumu ya mwenye kunuia kumtaliki mke wake na akachelewesha kufanya hivyo?
Jibu: Mwanaume akinuia kumtaliki mke wake kisha akaacha hilo na asifanye kitu, Talaka haipiti. Nia haifanyi Talaka kupita. Kutokana na kauli ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakika ya Allaah Kausamehe Ummah wangu yanayohadithia nafsi zao maadamu hawajayafanaya au kuyatamka.”
Maadamu hajayatamka na wala kuyafanya – kuandika hilo – isipokuwa kaweka nia tu, nia hii haipitishi chochote na mke atabaki katika asli yake. Talaka haipiti mpaka aandike Talaka au aitamke.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 18/03/2018
Swali: Ipi hukumu ya mwenye kunuia kumtaliki mke wake na akachelewesha kufanya hivyo?
Jibu: Mwanaume akinuia kumtaliki mke wake kisha akaacha hilo na asifanye kitu, Talaka haipiti. Nia haifanyi Talaka kupita. Kutokana na kauli ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakika ya Allaah Kausamehe Ummah wangu yanayohadithia nafsi zao maadamu hawajayafanaya au kuyatamka.”
Maadamu hajayatamka na wala kuyafanya – kuandika hilo – isipokuwa kaweka nia tu, nia hii haipitishi chochote na mke atabaki katika asli yake. Talaka haipiti mpaka aandike Talaka au aitamke.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 18/03/2018
https://firqatunnajia.com/mume-kanuia-kumtaliki-mke-lakini-anachelewesha-kufanya-hivyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)