Swali: Ninafanya kazi katika idara ya serikali na napata mshahara kutegemea na masaa ya kazi. Mudiri wangu kazini huniacha nikenda nyumbani pale ambapo hanihitajii. Inajuzu kwangu kufanya hivo na inafaa kwangu kuchukua mshahara huu?
Jibu: Ikiwa mudiri huyo ana haki ya kufanya hivo, haina neno. Na kama hana haki ya kufanya hivo, si wewe haifai kwako kufanya hivo wala yeye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 13/03/2017
Swali: Ninafanya kazi katika idara ya serikali na napata mshahara kutegemea na masaa ya kazi. Mudiri wangu kazini huniacha nikenda nyumbani pale ambapo hanihitajii. Inajuzu kwangu kufanya hivo na inafaa kwangu kuchukua mshahara huu?
Jibu: Ikiwa mudiri huyo ana haki ya kufanya hivo, haina neno. Na kama hana haki ya kufanya hivo, si wewe haifai kwako kufanya hivo wala yeye.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 13/03/2017
https://firqatunnajia.com/mudiri-anamwacha-mfanyakazi-kwenda-nyumbani-mapema-kabla-ya-masaa-ya-kazi-kwisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)