Swali: Mtu aliyevaa soksi za ngozi na huku anafanya Tayammum kwa sababu ya udhuru miongoni mwa nyudhuru ni lazima azivue baada ya masaa ishirini na nne?
Jibu: Hapana, asizivue. Afanye Tayammum hali ya kuwa amevaa soksi za ngozi. Haina neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 16/10/2016
Swali: Mtu aliyevaa soksi za ngozi na huku anafanya Tayammum kwa sababu ya udhuru miongoni mwa nyudhuru ni lazima azivue baada ya masaa ishirini na nne?
Jibu: Hapana, asizivue. Afanye Tayammum hali ya kuwa amevaa soksi za ngozi. Haina neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 16/10/2016
https://firqatunnajia.com/muda-maalum-wa-tayammum-kwa-aliyevaa-soksi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)