Swali: Katika Suurah “al-Baqarah” na “Ibraahiym” ametaja amani kabla ya riziki. Una la kusema juu ya hilo?
Jibu: Ndio. Mtu hawezi kuburudika kwa riziki pamoja na khofu. Riziki inaburudikiwa pamoja na amani. Kwa ajili hiyo ndio maana Ametaja kwanza amani kabla ya riziki:
وَإِذْ قَالَ إِبْرَاهِيمُ رَبِّ اجْعَلْ هَـٰذَا بَلَدًا آمِنًا وَارْزُقْ أَهْلَهُ مِنَ الثَّمَرَاتِ مَنْ آمَنَ مِنْهُم بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ
“Na [taja] aliposema Ibraahiym: “Mola wangu Ufanye mji huu kuwa wa amani na Waruzuku watu wake katika matunda atakayemwamini Allaah miongoni mwao na Siku ya Mwisho.” (02:126)
Ibraahiym (´alayhis-Salaam) aliomba kwanza amani kisha ndio akaomba riziki. Kwa kuwa hakuna kuburudika kwa riziki pasi na amani.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 06/06/2018
Swali: Katika Suurah “al-Baqarah” na “Ibraahiym” ametaja amani kabla ya riziki. Una la kusema juu ya hilo?
Jibu: Ndio. Mtu hawezi kuburudika kwa riziki pamoja na khofu. Riziki inaburudikiwa pamoja na amani. Kwa ajili hiyo ndio maana Ametaja kwanza amani kabla ya riziki:
وَإِذْ قَالَ إِبْرَاهِيمُ رَبِّ اجْعَلْ هَـٰذَا بَلَدًا آمِنًا وَارْزُقْ أَهْلَهُ مِنَ الثَّمَرَاتِ مَنْ آمَنَ مِنْهُم بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ
“Na [taja] aliposema Ibraahiym: “Mola wangu Ufanye mji huu kuwa wa amani na Waruzuku watu wake katika matunda atakayemwamini Allaah miongoni mwao na Siku ya Mwisho.” (02:126)
Ibraahiym (´alayhis-Salaam) aliomba kwanza amani kisha ndio akaomba riziki. Kwa kuwa hakuna kuburudika kwa riziki pasi na amani.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 06/06/2018
https://firqatunnajia.com/mtu-hawezi-kuburudika-kwa-riziki-pamoja-na-khofu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)