Swali: Mtoto wa miaka saba anamweleza baba yake jinsi mama yake mdogo anavofanana.
Ibn ´Uthaymiyn: Unakusudia kwamba anamsifu mwanamke huyu kwa wanamme wa kando naye?
Muulizaji: Ndio. Ni ipi hukumu ya mtoto huyu kuwa kati ya wanawake?
Jibu: Huyu hatakiwi kuwepo kati ya wanawake. Ni lazima kwake kujifunika mbele yake. Amesema (Ta´ala):
أَوِ الطِّفْلِ الَّذِينَ لَمْ يَظْهَرُوا عَلَىٰ عَوْرَاتِ النِّسَاءِ
“… au watoto ambao [bado] hawaelewi [kitu kuhusu] yanayohusu uke.”[1]
Hili liko wazi. Muda wa kuwa anajua sifa na anaweza kupambanua ni wepi wanawake warembo na wasiokuwa warembo ni lazima kujiepushe naye.
Swali: Hata kama ni mama yake mdogo?
Jibu: Anapaswa kukatazwa jambo hili. Midhali ni mama yake mdogo hawezi kujisitiri mbele yake, lakini anapaswa kukatazwa kufanya hivo. Ni wajibu wamfunze kwamba kitendo hicho ni kibaya na kumtishia vile wanavoweza.
[1] 24:31
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (11 B) Dakika: 35.40
- Imechapishwa: 03/07/2021
Swali: Mtoto wa miaka saba anamweleza baba yake jinsi mama yake mdogo anavofanana.
Ibn ´Uthaymiyn: Unakusudia kwamba anamsifu mwanamke huyu kwa wanamme wa kando naye?
Muulizaji: Ndio. Ni ipi hukumu ya mtoto huyu kuwa kati ya wanawake?
Jibu: Huyu hatakiwi kuwepo kati ya wanawake. Ni lazima kwake kujifunika mbele yake. Amesema (Ta´ala):
أَوِ الطِّفْلِ الَّذِينَ لَمْ يَظْهَرُوا عَلَىٰ عَوْرَاتِ النِّسَاءِ
“… au watoto ambao [bado] hawaelewi [kitu kuhusu] yanayohusu uke.”[1]
Hili liko wazi. Muda wa kuwa anajua sifa na anaweza kupambanua ni wepi wanawake warembo na wasiokuwa warembo ni lazima kujiepushe naye.
Swali: Hata kama ni mama yake mdogo?
Jibu: Anapaswa kukatazwa jambo hili. Midhali ni mama yake mdogo hawezi kujisitiri mbele yake, lakini anapaswa kukatazwa kufanya hivo. Ni wajibu wamfunze kwamba kitendo hicho ni kibaya na kumtishia vile wanavoweza.
[1] 24:31
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (11 B) Dakika: 35.40
Imechapishwa: 03/07/2021
https://firqatunnajia.com/mtoto-wa-miaka-saba-anamsifu-mama-yake-mdogo-kwa-baba-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)