Mtenda madhambi ataweza kujibu maswali ya Malaika wawili?

Swali: Je, mtenda madhambi na fasiki muislamu ataweza kujibu maswali ya Malaika wawili?

Jibu: Allaah ndiye anajua zaidi. Kafiri hatoweza kujibu. Mtenda madhambi yuko khatarini katika adhabu na hali mbalimbali [za kutisha].

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
  • Imechapishwa: 31/03/2019