Swali: Nina miaka mingi ambayo sikufunga nilipokuwa mdogo na sikumbuki ni lini nilijiwa na ada ya mwezi. Ni kipi kinachonilazimu hivi sasa?
Jibu: Ni lazima kwa mwanamke kufunga pale anapobaleghe kwa hedhi, kwa kuota au kwa kufikisha miaka kumi na tano. Ni lazima kujitahidi kufanya uchunguzi na kulipa ikiwa uko na deni juu ya miezi ambayo hukufunga. Sambamba na hilo unatakiwa kutoa chakula ya 1,5 kg ya mchele au ngano kwa kila siku moja iliyokupita.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://mufti.af.org.sa/ar/content/%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%83-%D8%B5%D9%8A%D8%A7%D9%85-%D9%85%D8%A7-%D9%81%D8%A7%D8%AA%D9%83-%D9%85%D8%B9-%D8%A7%D9%84%D8%A5%D8%B7%D8%B9%D8%A7%D9%85
- Imechapishwa: 01/05/2020
Swali: Nina miaka mingi ambayo sikufunga nilipokuwa mdogo na sikumbuki ni lini nilijiwa na ada ya mwezi. Ni kipi kinachonilazimu hivi sasa?
Jibu: Ni lazima kwa mwanamke kufunga pale anapobaleghe kwa hedhi, kwa kuota au kwa kufikisha miaka kumi na tano. Ni lazima kujitahidi kufanya uchunguzi na kulipa ikiwa uko na deni juu ya miezi ambayo hukufunga. Sambamba na hilo unatakiwa kutoa chakula ya 1,5 kg ya mchele au ngano kwa kila siku moja iliyokupita.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://mufti.af.org.sa/ar/content/%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%83-%D8%B5%D9%8A%D8%A7%D9%85-%D9%85%D8%A7-%D9%81%D8%A7%D8%AA%D9%83-%D9%85%D8%B9-%D8%A7%D9%84%D8%A5%D8%B7%D8%B9%D8%A7%D9%85
Imechapishwa: 01/05/2020
https://firqatunnajia.com/msichana-ambaye-hakufunga-miaka-mingi-ya-nyuma/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)