Swali: Ni ipi hukumu ya kufupisha na kujumuisha kwenye masafa ambayo yanazidi 80 km pamoja na kujua ya kwamba nitarejea siku hiyo hiyo?
Jibu: Ndio. Nyinyi mnajua kuwa masafa ambayo ni 80 km na zaidi, inajuzu kufupisha swalah hata kama ataenda siku hiyo hiyo na kurudi siku hiyohiyo. Kwa kuwa hii inazingatiwa kuwa ni safari.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/5431
- Imechapishwa: 20/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket