Swali: Mtu akiingia msikitini ambapo akamkuta imamu katika Tashahhud ya mwisho ajiunge pamoja naye au asubiri ili aswali na mkusanyiko mwingine akiyakinisha uwepo wake?
Jibu: Ajiunge pamoja naye. Kama ni mkusanyiko ajiunge pamoja naye. Ama akiwa na mkusanyiko basi ana khiyari; akipenda atajiunga pamoja na imamu na akipenda asubiri mpaka wamalize na waanze kuswali. Kwa sababu swalah imemalizika. Lakini akiwa hana yeyote pamoja naye ajiunge pamoja na imamu. Kule kutarajia kwake kuwa atakuja mtu matarajio haya huenda yasihakikike.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://shrajhi.com.sa/fatawa/104/%D8%A5%D8%B0%D8%A7-%D8%AF%D8%AE%D9%84-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B3%D8%AC%D8%AF-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%A5%D9%85%D8%A7%D9%85-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D8%B4%D9%87%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D8%A3%D8%AE%D9%8A%D8%B1
- Imechapishwa: 14/12/2019
Swali: Mtu akiingia msikitini ambapo akamkuta imamu katika Tashahhud ya mwisho ajiunge pamoja naye au asubiri ili aswali na mkusanyiko mwingine akiyakinisha uwepo wake?
Jibu: Ajiunge pamoja naye. Kama ni mkusanyiko ajiunge pamoja naye. Ama akiwa na mkusanyiko basi ana khiyari; akipenda atajiunga pamoja na imamu na akipenda asubiri mpaka wamalize na waanze kuswali. Kwa sababu swalah imemalizika. Lakini akiwa hana yeyote pamoja naye ajiunge pamoja na imamu. Kule kutarajia kwake kuwa atakuja mtu matarajio haya huenda yasihakikike.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://shrajhi.com.sa/fatawa/104/%D8%A5%D8%B0%D8%A7-%D8%AF%D8%AE%D9%84-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B3%D8%AC%D8%AF-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%A5%D9%85%D8%A7%D9%85-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D8%B4%D9%87%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D8%A3%D8%AE%D9%8A%D8%B1
Imechapishwa: 14/12/2019
https://firqatunnajia.com/mkusanyiko-mwingine-au-ajiunge-pamoja-na-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)