Swali: Kuna mwanamke anaumwa maradhi ya ini. Daktari amemkataza kufunga kwa muda wa miaka mitatu. Katika mwaka huu amefunga Ramadhaan na amefunga Sitta Shawwaal. Anauliza kuhusu miaka iliyopita ambayo hakufunga kutokana na daktari alivyomwambia, lakini alilisha kwa kila siku moja masikini. Kuna nini juu yake?
Jibu: Hana juu yake kitu. Maadamu hakuweza kulipa, inatosheleza kwake kulisha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-01-06.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Kuna mwanamke anaumwa maradhi ya ini. Daktari amemkataza kufunga kwa muda wa miaka mitatu. Katika mwaka huu amefunga Ramadhaan na amefunga Sitta Shawwaal. Anauliza kuhusu miaka iliyopita ambayo hakufunga kutokana na daktari alivyomwambia, lakini alilisha kwa kila siku moja masikini. Kuna nini juu yake?
Jibu: Hana juu yake kitu. Maadamu hakuweza kulipa, inatosheleza kwake kulisha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-01-06.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/miaka-mitatu-mgonjwa-amelisha-kwa-kutoweza-kufunga__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)