Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia mfanyakazi mwanamke katika nchi ya kiislamu pasi na Mahram kutokana na haja ya kidharurah?
Jibu: Ni lazima kwa wanawake wote wasisafiri isipokuwa kwa kuwa pamoja na Mahram. Ni mamoja mfanyakazi mwanamke au mwengine. Kila mwanamke ni lazima awe na Mahram yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mwanamke asisafiri isipokuwa pamoja na Mahram.”
Hilo ndilo la wajibu kwa wote. Ni lazima kwa familia yake kumtafutia Mahram.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21523/حكم-استقدام-خادمة-مسلمة-بدون-محرم-لحاجة
- Imechapishwa: 21/08/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia mfanyakazi mwanamke katika nchi ya kiislamu pasi na Mahram kutokana na haja ya kidharurah?
Jibu: Ni lazima kwa wanawake wote wasisafiri isipokuwa kwa kuwa pamoja na Mahram. Ni mamoja mfanyakazi mwanamke au mwengine. Kila mwanamke ni lazima awe na Mahram yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mwanamke asisafiri isipokuwa pamoja na Mahram.”
Hilo ndilo la wajibu kwa wote. Ni lazima kwa familia yake kumtafutia Mahram.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21523/حكم-استقدام-خادمة-مسلمة-بدون-محرم-لحاجة
Imechapishwa: 21/08/2022
https://firqatunnajia.com/mfanyakazi-mwanamke-kusafiri-nchi-za-nje-bila-mahram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)