Allaah na Malaika Wake wamemswalia na akawaamrisha wamswalie na kumtolea salamu. Amesema (Ta´ala):
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ ۚ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا
“Hakika Allaah na Malaika Wake wanamswalia Mtume. Hivyo enyi walioamini mswalieni na mumsalimu kwa salamu.”[1]
Lakini hakutengwi wakati wala namna maalum ya kumsifu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) isipokuwa kwa dalili sahihi kutoka katika Qur-aan na Sunnah. Yale yanayofanywa na watu wa maulidi kutenga siku maalum ambayo wanadai kuwa ndio siku aliyozaliwa ni Bid´ah yenye kukemewa.
[1] 33:56
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 156
- Imechapishwa: 17/11/2019
Allaah na Malaika Wake wamemswalia na akawaamrisha wamswalie na kumtolea salamu. Amesema (Ta´ala):
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ ۚ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا
“Hakika Allaah na Malaika Wake wanamswalia Mtume. Hivyo enyi walioamini mswalieni na mumsalimu kwa salamu.”[1]
Lakini hakutengwi wakati wala namna maalum ya kumsifu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) isipokuwa kwa dalili sahihi kutoka katika Qur-aan na Sunnah. Yale yanayofanywa na watu wa maulidi kutenga siku maalum ambayo wanadai kuwa ndio siku aliyozaliwa ni Bid´ah yenye kukemewa.
[1] 33:56
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 156
Imechapishwa: 17/11/2019
https://firqatunnajia.com/maulidi-ni-bidah-yenye-kukaripiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)