Swali: Ipi hukumu ya kuapa kwa Talaka mara tatu? Je, Talaka inapita ikiwa kuapa kwake hakumkusudia mke na khaswa isitoshe baadhi ya watu wanafanya hivyo na hawakusudii Talaka? Na ni ipi kafara ikiwa Talaka inapita? Na je, imepita moja au mbili?
Jibu: Talaka tatu kunahitajika ufafanuzi na hatuwezi kuchukulia kwa juu juu. Ni lazima aulizwe mtu huyo aliyetamka hivyo na yajulikane makusudio yake, na matamshi aliyosema na kama hapo alitangulia kutoa Talaka au hapana. Huyu anatakiwa ahudhurie ima mahakamani kwa Qaadhiy au Daar al-Iftaah. Ama kutoa Fatwa ya jumla hapa katika Darsa Msikitini, hili sio sahihi. Kwa kuwa baadhi ya watu wanaweza kufahamu makosa na akaenda kuwaeleza watu alivyofahamu nao wakafahamu makosa. Haya ni lazima apelekewe Muftiy au Qaadhiy.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10053
- Imechapishwa: 03/03/2018
Swali: Ipi hukumu ya kuapa kwa Talaka mara tatu? Je, Talaka inapita ikiwa kuapa kwake hakumkusudia mke na khaswa isitoshe baadhi ya watu wanafanya hivyo na hawakusudii Talaka? Na ni ipi kafara ikiwa Talaka inapita? Na je, imepita moja au mbili?
Jibu: Talaka tatu kunahitajika ufafanuzi na hatuwezi kuchukulia kwa juu juu. Ni lazima aulizwe mtu huyo aliyetamka hivyo na yajulikane makusudio yake, na matamshi aliyosema na kama hapo alitangulia kutoa Talaka au hapana. Huyu anatakiwa ahudhurie ima mahakamani kwa Qaadhiy au Daar al-Iftaah. Ama kutoa Fatwa ya jumla hapa katika Darsa Msikitini, hili sio sahihi. Kwa kuwa baadhi ya watu wanaweza kufahamu makosa na akaenda kuwaeleza watu alivyofahamu nao wakafahamu makosa. Haya ni lazima apelekewe Muftiy au Qaadhiy.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10053
Imechapishwa: 03/03/2018
https://firqatunnajia.com/masuala-ya-talaka-tatu-yanahitajia-ufafanuzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)