Swali: Manii yanayotoka baada ya kuoga [janaba] yanawajibisha kuoga tena au yanatengua wudhuu´?
Jibu: Ndio, yanatengua wudhuu´. Kinachotoka kupitia njia mbili kinatengua wudhuu´, sawa ikiwa ni manii au sio manii.
Swali: Kinawajibisha kuoga tena?
Jibu: Hapana. Isipokuwa akihisi ladha na yakatoka na nguvu kwa kuruka. Akihisi ladha na yakatoka na nguvu, hii itakuwa ni janaba na atatakiwa kuoga. Ama kutoka tu bila ya ladha, hili linawajibisha wudhuu´ tu. Aoshe tupu yake na atawadhe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13888
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Manii yanayotoka baada ya kuoga [janaba] yanawajibisha kuoga tena au yanatengua wudhuu´?
Jibu: Ndio, yanatengua wudhuu´. Kinachotoka kupitia njia mbili kinatengua wudhuu´, sawa ikiwa ni manii au sio manii.
Swali: Kinawajibisha kuoga tena?
Jibu: Hapana. Isipokuwa akihisi ladha na yakatoka na nguvu kwa kuruka. Akihisi ladha na yakatoka na nguvu, hii itakuwa ni janaba na atatakiwa kuoga. Ama kutoka tu bila ya ladha, hili linawajibisha wudhuu´ tu. Aoshe tupu yake na atawadhe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13888
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/manii-yanayotoka-baada-ya-kuoga-janaba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)